disjunctive

adj -a kutenganisha, -a kuachanisha, -a kutengua; (gram) -enye kueleza tafauti, ukinzani, uteuzi kati ya mambo mawili (mfano ama -au-). disjunction n 1 mwachano, kutenganisha, kuachanisha. 2 (maths) funduo. ~adv.