diplomacy

n 1 diplomasia. 2 upatanishi, usuluhishi. 3 (cunning) werevu/ujanja/ustadi wa kushughu- lika na watu wengine (ili mambo yote yafanikiwe); busara; hekima. diplomat n 1 mwanadiplomasia; balozi. 2 bingwa katika uhusiano na watu. diplomatic adj 1 -a kidiplomasia. diplomatic corps n maafisa wa ubalozi katika nchi. diplomatic immunity n huria kwa wanadiplomasia. diplomatic relations n uhusiano wa kibalozi. 2 -erevu; -a busara. -a hekima. diplomatically adv.