dip

vt,vi 1 ~ in/into chovya, zamisha. ~ stick n kijiti cha kupimia oili/mafuta. 2 ogesha (kondoo, ng'ombe) kwa dawa katika josho. 3 teremsha na kutweka tena upesi. ~ a flag amkia kwa bendera ~ the head lights punguza nuru ya taa za gari. 4 inama, nepa, enda chini, teremka kidogo the sun ~ped below the horizon jua lilizama chini ya upeo wa macho. 5 ~ into (fig) ~ into one's purse tumia pesa. ~ into the future jaribu kufikiria yajayo ~ into a book somasoma, angalia angalia kitabu n 1 mchovyo; mzamo. 2 dawa ya kuogeshea mifugo. 3 mbetuko; mwinamo, mteremko. 4 mkao wa bendera inapoteremshwa au kutwekwa. 5 kuogelea (kwa muda mfupi).