dine

vt,vi (formal) 1 -la chakula kikuucha siku. ~ out -la chakula hotelini au kwa marafiki. 2 karibisha mtu kwa chakula kikuu cha siku; kirimu. dining car n behewa la kulia chakula. dining room n chumba cha kulia. dining table n meza ya chakula. diner n 1 mla chakula (kikuu hasa cha kutwa). 2 behewa la kulia chakula; (US) mgahawa wenye umbo la behewa la kulia chakula.