difficult

adj -gumu; -zito, -a shida; -a fumbo. difficulty n 1 shida, matatizo, dhiki, ugumu the ~y is to make good choice tatizo ni kufanya uchaguzi mzuri I have ~y in saying napata shida/ninashindwa kusema. 2 (pl) be digit in ~ies, -wa na matatizo, wamba get oneself into ~ies jitia matatani be in financial ~ies wamba. make ~ies leta ubishi.