differ

vi 1 tofautiana, hitilafiana, achana; -topatana. 2 ~(from somebody) (about/on something) -tokubaliana. agree to ~ kubali kutofautiana. difference n 1 tofauti, hitilafu, hali ya kuwa mbalimbali. ~ence of opinion tofauti za mawazo. makes no ~ence ni mamoja tu, ni sawa tu that makes all the ~ence hiyo hubadili hali ya mambo kabisa. 2 kutokukubaliana, mfarakano mdogo. 3 kiwango cha vitu kutofautiana. 4 kiasi, kadiri iletayo tofauti, hitilafu. different adj mbalimbali, siokuwa sawa na -ingine, tofauti. differently adv. differential n,adj 1 difrensha. 2 (Math) ~ential equations milinganyo tenguo. 3 (wage) tofauti (katika asilimia) za ujira kati ya wafanyakazi wenye ujuzi na wale wasio na ujuzi wa kiwanda kile kile. differentiate vt 1 tofautisha, pambanua, ainisha. 2 (Math) tengua. 3 ~entiate between tendea tofauti. ~ entiation n utofautishaji, upambanuzi. 2 utenguzi.