vt tambua/baini ugonjwa/matatizo n.k. (kwa kuangalia dalili zilizopo), zuza. diagnosisn utambuzi/ubainishaji wa ugonjwa. diagnosticadj -a kuchunguza na kubainisha ugonjwa, -a uaguzi. diagnosticiann. diagnosticsn elimu ya uchunguzi wa aina na sababu za ugonjwa.