devolve

vt,vi ~ (on/upon) 1 kabidhi, hamishia (kazi, madaraka, zamu n.k.) kwa. ~ (to/upon) kabidhiwa ~ a responsibility to somebody kabidhi madaraka kwa mwingine. 2 rithiwa. devolution n 1 (transfer of rights) kukabidhi madaraka, kazi, haki, wajibu n.k.; ugatuzi. 2 urithishaji.