devil

n 1 shetani, ibilisi; (fig) adui mbaya. between the ~and the deep (blue) sea katika hali ya atiati ukashindwa kuamua jambo; kimbia kufiwako kwenda kuliwako nyama. give the ~ his due mtendee kila mtu haki yake (hata kama ni adui). go to the ~ nenda zako! haribika! kwisha! play the ~ with umiza, haribu. the D~ n shetani. ~'s advocate n mchochea mjadala kwa kuonyesha ila au kasoro ya kitu. lucky ~ n mwenye bahati. speak/talk of the ~and he is sure to appear hatajwi (akitajwa tu hutokea). 2 (usu poor ~) (as interjection) masikini! 3 (arch) printer's ~ n kijana atumiwae kama tarishi mwanagenzi katika ofisi ya uchapaji, mwanasheria mwanagenzi. 4 (colloq) msisitizo. what/who/why/where the ~ nini/ nani/kwa nini/wapi ...(kutegemea muktadha). ~ may-care adj (carefree) asiyejali. 5 (tech) mashine ya kuchambua vt 1 (spice a dish) koleza chakula (hasa kwa viungo vyenye pilipili). 2 ~ for fanya kazi kama mchapaji/mwanasheria mwanagenzi. devilish adj 1 kama shetani. 2 -baya mno; ovu sana; -uaji; -katili adv kikatili. devilry (also ~ ment) n 1 ushetani, uibilisi. 2 -ukatili; -uovu. 3 uchawi. 4 (rel.) elimu ya mizimu.