vt 1 peleka (barua, vifaa n.k.), wasilisha; (fig) ~ the goods tekeleza wajibu. 2 ~ from okoa, ponya, opoa, fanya huru (tokana na hatari, utumwa, kifungo, maumivu, mauti, dhambi n.k.). 3 toa ~oneself of an opinion toa mawazo ~ a speech/ lecture toa hotuba/mhadhara ~ an order toa amri. 4 (give birth to) zaa, jifungua; zalisha. 5 ~ up/over (to) kiri, toa, kabidhi. 6 anzisha (mpango); peleka dhidi ya. (fig) ~ a blow piga. deliverern mwokozi, mkombozi. deliverancen 1 ~ance from wokovu, ukombozi, uhuru. 2 afua, nusura. 3 (utterance) kutoa mahubiri/ hotuba. 4 (leg) (sentence) hukumu. ~ancyn 1 uokoaji, ukombozi, kuopoa, kufanya huru. 2 kupeleka, kukabidhi, kuwasilisha, kutoa (barua bidhaa n.k.). 3 uwasilishaji. on ~y wakati wa kuwasilisha. take ~y of pokea. ~y noten hati ya kuwasilisha/kupokea. deliveryvann gari la ugawaji. 4 kuzaa; kuzalisha. 5 namna ya kuongea/kutoa hotuba n.k. 6 pigo. 7 (mode of speaking) jinsi ya kusema.