default

n 1 kushindwa kufanya jambo; kupuuza. 2 kosa (la kutofanya ipasavyo), mwepuza. win a case (a game) by ~ shinda kesi (au mchezo) kwa kuwa washindani wamepuuza. be in ~ kosekana. ~ of bila, kwa kukosa vi 1 shindwa kutekeleza wajibu/kufuata mkataba. 2 shindwa kulipa madeni. 3 shindwa kufika mahakamani. defaulter n 1 mwenye kosa la kutoonekana, kutolipa deni. 2 askari aliyehukumiwa kijeshi.