death

n 1 mauti, kifo, ufu. at ~'s door chungulia kaburi. he's working himself to ~ anafanya kazi sana. bore somebody to ~/stiff chosha mtu. sick to ~ of somebody choshwa na mtu. death-bed n kitanda cha mauti on his ~-bed karibia kufa. ~-bed confession n maungamo ya mwisho. ~ duties n ushuru wa mirathi. ~ rate n kiwango cha vifo; idadi ya vifo kwa mwaka. 2 kuua/kuawa, kifo. accidental ~ n kifo cha ajali. ~ by misadventure kifo cha bahati mbaya. ~ sentence n hukumu ya kifo. die a natural ~ -fa kipinda/kibudu; (of person) -fa kawaida. be in jaws of ~ -wa hatarini, ingia kwenye mdomo wa mamba. be in at/the ~ shuhudia kifo; (fig) shuhudia mwisho wa amali. put somebody to ~ ua. stone somebody to ~ rujumu. ~roll n orodha ya watu waliouawa vitani. ~ trap n mazingira ya kifo; machinjioni. ~ -warrant n hati inayoruhusu kuua mhalifu. 3 be the ~ of sababisha kifo/ajali. catch one's ~ (of cold) pata mafua makali. ~ blow n pigo la kufa; (fig) that was a ~-blow to my hopes hilo lilikuwa pigo la wisho la matarajio yangu. (of 14th c.) the Black D~ n tauni. (a fate) worse than ~ a kutisha mno. 4 (fig) kuharibika, mwisho the ~ of our plans kuharibika kwa mipango yetu. ~ chamber n chumba cha waliohukumiwa kifo. ~-cap n uyoga wa sumu. ~ -house n; ~'s head n fuvu (la kichwa) lenye mifupa iliyokingama ikiwa ni ishara ya hatari. ~rattle n mkoromo (wa kifo). ~toll n idadi ya watu waliokufa katika ajali. ~ watch n kukesha na mgonjwa aliyekaribia kufa. deathless adj -a milele, -siyo na mwisho, -siokufa; -a azali/aushi. ~less fame n sifa isiyokufa. deathlike adj kama kifo, kama mauti.