dead

adj 1 (of plants, persons) -liokufa. the ~ n wafu, marehemu. D ~ men tell no tales ya kale hayanuki. wait for a ~ man's shoes subiri kurithi cheo. rise from the ~ fufuka. ~ march n wimbo wa mazishi ~ as a doornail kufa fofofo. 2 (matter) -siowahi kuwa na uhai (k.m. jiwe). 3 kimya tuu, -liotulia kabisa. the ~ hours of the night usiku wa manane be at/come to/reach a ~ end fikia mwisho kabisa, kwama. 4 (of languages, customs etc.) -liokufa, -siotumika sasa (k.m. lugha ya Kiyunani). ~ letter n sharti/kanuni ambayo imepuuzwa, isiyo na nguvu tena; barua iliyowekwa na posta baada ya kumkosa mpelekewa na kushindika na kumrudishia mpelekaji. 5 (of hand etc.) -liopooza; -liokufa ganzi kwa baridi; (colloq) ~ to the world; -liolala fofofo. 6 kamili, kabisa. ~ calm n utulivu kamili. ~ shot n -enye shabaha kali. ~ sleep n usingizi wa pono. ~ silence n kimya kabisa. ~ heat n suluhu katika shindano, sare. go into/be in a ~ faint zimia kabisa. ~ loss bila fidia; hasara tupu; (sl) (mtu) asiye na msaada wotewote. ~ centre n katikati kabisa, kitovu. 7 -sioweza kutumika tena. a ~ match n njiti ya kibiriti iliyokwishatumika. 8 (of sounds) -zito; (of colours) -siong'ara sana, -liochujuka. 9 (various uses) ~ ahead mbele. ~ fall n mtego wa gogo. ~ slow polepole kabisa. ~ sure n hakika kabisa. deadline adj muda wa mwisho wa kutenda jambo. ~ pan n (of face) adj -enye kujikausha; -sioonyesha hisia. ~ weight n uzito wa jumla (wa chombo na mizigo). ~ wood n mti mkavu; (fig) mtu mjinga; -sioweza kitu; -liokwisha (vunyenge). deadlock n 1 mkwamo; kushindwa kabisa (kufikia maafikiano). break the ~lock fanya hali ya kutokuafikiana itoke. deaden vt,vi 1 punguza; (of feelings) tuliza; fifisha drugs to ~en pain dawa za kutuliza maumivu. deadly adj 1 -a kufisha; uaji, angamizi; -a kudhuru sana, -a kutilifu mwili, -a kuhatarisha. 2 chushi. 3 apizi/laanifu. 4 -a kama kifo. 5 (colloq) kali, -liozidiana. (of aim) ~ly shot n dango kali. deadliness n.