n 1 hatari, janga, baa. 2 jambo/ kitu kisababishacho hatari. put in ~ hatarisha, tia hatarini he is out of ~ ameanza kupona, amenusurika. 3 alama/rangi ya hatari. the signal is at ~ ishara inaonyesha hatari. ~ pointn sehemu ya hatari. ~ zonen eneo la hatari. ~ moneyn malipofidia: malipo ya ziada yatolewayo kwa ajili ya kazi ya hatari. dangerousadj. ~ ous (to/ for) -a hatari; -enye kudhuru. be on ~ous ground -wa mahali pa hatari. dangerouslyadv.