cut

cut

1 vt,vi 1 kata; (of minor cuts) chanya, kwaruza; (of grass) fyeka; (of nails) punguza; (of parts) mega; (of time, story etc.) fupisha; (of inscription) chonga, toboa. 2 (suitability for use) kata the matchet ~s well panga linakata vyema; (of material) katika. 3 (of class, lecture etc.) kacha. 4 (of lines) kata, pishana. 5 (of sport) betua. 6 choma moyo, umiza his words ~ me deeply to the quick maneno yake yaliniumiza sana. 7 (with nouns or pronouns) ~firewood tema/chanja/changa kuni. ~planks pasua mbao. ~ the cards/ pack kata karata. ~ one's coat according to one's cloth tumia kulingana na mapato; -tokuwa na tamaa mno katika mipango. ~ (off) a corner katiza. ~ a disc/record rekodi kwenye sahani ya santuri. ~ the ground from under someone's feet bomoa misingi yake (ya hoja, mipango n.k.). ~ no/not much ice tovutia, -tostua. ~ one's losses acha mpango kabla ya kula hasara zaidi. ~ a tooth ota jino. ~ one's teeth on jifunza; pata uzoefu. ~ both ways -wa msumeno the law ~ both ways sheria ni msumeno. ~ somebody to ribbons adhiri, umbua kabisa. 8 (with an adj as comp) ~ somebody dead -pa kisogo, jifanya huoni. ~ it fine (colloq) acha hadi dakika ya mwisho. ~ open tumbua, pasua. ~ short fupisha to ~ a long story short kwa kifupi. 9 Cut! ingilia; wacha, simamisha (kupiga picha). 10 (with pp) ~ and dried adj -lokwisha amuliwa. ~ flowers n maua ya mapambo. ~ glass n gilasi zilokatwa nakshi. ~place/rate n bei poa/tupa, bwerere, dezo. ~tobacco n tumbaku iliyo katwakatwa. 11 (with adv and prep) ~ across katiza; pinga; vuka mipaka. ~ at lenga kupiga. ~ away ondoa kwa kukata. ~ back punguza ~ back expenses punguza gharama. ~ down angusha; ua; jeruhi (kwa silaha ya kukata); punguza kuvuta sigara ~somebody down to size punguza majivuno/ujeuri, onyesha kuwa mtu hastahili anachodai.

cut

2 n 1 ukataji; mkato. ~ and thrust n (fig) mabishano makali. 2 upunguzaji. 3 makato. 4 pande. let kipande. 5 (of clothes) mtindo, mshono. 6 mbetuo, mchinjo. 7 simango. 8 msuso. 9 short ~ n njia ya mkato. 10 a ~ above bora zaidi. 11 tambuka reli, tambuko. 12 mchongo, kinyago. cutout n kidhibiti umeme. ~ in ingilia; (of cars) jipachika. ~ into katiza. ~ into pieces gawanya. ~ off (from) ondoa kwa kukata; zuia; ingilia; tenga; gawanya; nyima urithi; (mil) zingira. ~ out kata; (of engine etc.) acha kufanya kazi, simama; (omit/stop) acha; (of competition) shinda. ~ it/that out! acha magomvi/maneno. be ~ out for toa kwa have one's work ~ out for one kabiliwa na kazi kubwa. ~ up katakata; (mil) teketeza (usu pass) umia; (sl) kosoa, lima. cutup rough -wa mgomvi. 13 (in compounds) cutpurse n mchomozi, mwizi wa mfukoni. cutthroat n mwuaji adj kali sana; katili ~ throat competition mashindano makali sana. ~throat razor n kisuwembe. cutting n 1 korongo maalum. 2 (of newspaper) kipande cha gazeti (kilichokatwa na kuhifadhiwa). 3 (of plants) kipandikizi, kitawi. 4 (of films etc.) uhariri (kwa kuondoa sehemu zisizotakiwa adj kali, -a kuumiza, -a kuchoma. cutter n 1 dau. 2 kikata. 3 mkataji. tailor's ~ter n mkataji wa nguo.