cure

n dawa this disease has no ~ maradhi haya hayana dawa. 2 matibabu his ~ took a year matibabu yake yalichukua mwaka no ~ for the disease maradhi haya hayana dawa. 3 kupona I can't guarantee you a ~ sikuhakikishii kuwa utapona. 4 (rel) nafasi/kazi ya upadre; kasisi. vt,vi 1 ponya, ponyesha. ~-all n kiponya madhila/maradhi yote. 2 hifadhi (nyama, samaki n.k. kwa kutia chumvi au dawa asioze), kausha; koleza. 3 ondolea mbali; tatua tatizo, ondoa. ~ poverty ondoa ufukara. curative adj -a kuponya, -a kuweza kuponya (ugonjwa). n dawa what can't be ~d must be endured lililovia limevia. curable adj -a kuponyeka, -a kuweza kuponyeshwa. curability n.