crow

crow

1 n 1 (of a cock) kuwika. 2 (of a baby) kucheka. vi 1 wika. 2 cheka, lia kwa furaha. 3 ~ about/over jivunia. 4 cheka, shangilia.

crow

2 n 1 kunguru. as the ~ flies kwa mwendo wa moja kwa moja. to eat ~ salimu amri kwa lazima; dhilishwa, twezwa. have a ~ to pick (to pluck) (with somebody) kamia, -wa na jambo baya la kuzungumza na mtu. 2 see ~ bar. ~ 's-foot n kijikunjo kwenye pembe la jicho. ~'s -nest n kidungu juu ya mlingoti wa chombo.