1n 1 zao. cash ~n zao la biashara. food ~sn mazao ya chakula. forage ~sn mazao ya malisho. ~ rotationn mbadilisho wa mimea. 2 (pl) mavuno. 3 kundi la watu au vitu vinavyoonekana au kutengenezwa pamoja. vt,vi 1 nyoa, kata fupi (nywele n.k.). 2 (of animals) -la machipukizi/vilele vya mimea. 3 ~ (with) otesha, panda mazao. 4 zaa the peas~pedwell njegere zimezaa vizuri. 5 ~ up onekana kwa ghafula, tokea, onekana, zuka. ~ out tokeza juu ya ardhi. crop-earedadj -enye masikio yaliyofupishwa, yaliyokatika kidogo.
crop
2n 1 gole. 2 mpini wa mjeledi/ mchapo. 3 mkato mfupi wa nywele. croppern 1 mmea utoao mazao. a good/bad/heavy ~pern mmea unaotoa mavuno mazuri/mabaya/ mengi. 2 mtu au chombo cha kuchengea. 3 come a ~per(colloq) anguka sana, shindwa (k.m. katika mtihani).