croak

vi 1 ~ (out) koroma, lia kama chura au kunguru), kwaruza his voice was ~ing sauti yake ilikuwa ikikwaruza. 2 (grumble) nung'unika, guna. 3 bashiri mabaya. 4 (sl) -fa. n 1 mlio kama wa chura/ kunguru. 2 mkoromo, mkwaruzo.