1n 1 hori (ya kuwekea chakula cha mfugo). 2 mlezi. 3 (US) tangi, boksi, kasha (la kuhifadhi mahindi n.k.).
crib
2n kazi iliyonakiliwa kwa kuibiwa, maandishi yaliyoghushiwa, maandishi yaliyokaririwa. vt,vi(of students) ibia (kazi ya mwingine kwa kunakili), ghushi, nakili.