crest

n 1 (tuft) shungi, kishungi; kilemba, kishada. 2 (top) kilele, ncha ya juu. on the ~ of a wave wakati wa nyota ya jaha. 3 upanga wa jongoo, undu. 4 nembo ya kinasaba. 5 kufika kileleni. crested adj. crestfallen adj -liovunjika moyo, -a huzuni, -sio na raha.