credit

n 1 muamana. 2 mkopo, karadha. buy/sell on ~ nunua/ uza kwa mkopo. ~ account n (US charge account). ~ card n kadi ya mkopo. ~ note n hati ya kudai. letter of ~ n hati ya muamana. ~ squeeze n sera ya kubana utoaji mikopo. ~ balance n baki ya upande wa malipo. 3 (book-keeping) mpe: maingizo ya fedha zilizotolewa. 4 sifa njema, heshima. give ~ (to) sifia, tambua. do/reflect ~ ongezea sifa. 5 imani the rumour is gaining ~ uvumi unazidi kuaminika she has five books to her ~ ameandika vitabu vitano. vt 1 amini. 2 kopesha. 3 fanya maingizo ya. creditable adj. creditor n mwia. ably adv.