1n 1 kishindo (cha kuanguka au mpasuko). 2 mgongano. ~ barriern kizuizi cha hatari. crash-diven uzamaji ghafla wa nyambizi kuepa shambulio. vi 1 tua/zama kwa haraka. 2 anguka/vunjika vipande vipande kwa kishindo. 3 gonga; gongana. 4 pata kwa nguvu. gate ~ ingia kwa nguvu. crash-landing n(of aircraft) kutua/anguka (kwa nguvu na kwa kishindo). ~ helmetn kofia ya kinga. ~ padn (sl) mahali pa kulala wakati wa dharura. ~-programmen mpango wa dharura. 5 (of company) filisika. crashingadv (sl) sana, kabisa. a ~ing fooln mpumbavu kabisa.