court

court

1 n 1 kitala. 2 mahakama, korti. appellate ~ n mahakama ya rufani. civil ~ n mahakama ya madai. high ~ n mahakama kuu. primary ~ n mahakama ya mwanzo. contempt of ~ n kudharau mahakama. open ~ n mahakama ya wazi, (ambapo wasikilizaji wowote wanaruhusiwa). be ruled/put out of ~ kataliwa mahakamani. take to ~shitaki. 3 ua (wa nyumba). courtyard n uga, uwanja. 4 kiwanja cha michezo. ~card n karata ya mzungu (katika mchezo wa karata). courtier n mtumishi wa kitala. ~ martial n mahakama ya kijeshi vt shtaki kijeshi. be ~ martialled shtakiwa kijeshi.

court

2 vt 1 jipendekeza kwa heshima. 2 bembeleza pay ~ to (a woman) fanya urafiki, posa (mwanamke), bemba. 3 karibisha/chokoza (hatari, maafa, n.k.). courtship n 1 posa, uchumba, ubembelezi. 2 kipindi cha posa.