council

n 1 halmashauri; baraza. City C~ n Halmashauri ya Jiji. Revolutionary C~ n Baraza la Mapinduzi Executive C~ (Cabinet) Baraza la Mawaziri. Legislative C~ n Baraza la Kutunga Sheria. 2 mkutano. ~ of war mkutano wa kushauriana mambo ya vita. ~ board n meza ya mkutano ya halmashauri. ~ chamber n chumba cha mikutano ya halmashauri. councillor (also ~-man) n diwani, mjumbe wa baraza.