cotton

cotton

1 n pamba. ~ wool n pamba. ~-cake n mashudu ya pamba agh. hutumiwa kama chakula cha ng'ombe. ~-gin n kinu cha kuchambulia pamba. ~-grass n pamba mwitu. ~-mouth n nyoka wa majini mwenye sumu. ~-tail n (US) mnyama aina ya sungura.

cotton

2 vi (sl) 1 kubaliana. 2 -wa na urafiki. ~ on (to) (colloq) fahamu, elewa. ~ up to jenga urafiki; jaribu kufanya urafiki.