corn

corn

1 n 1 (grain) nafaka (hasa mahindi, mchele, ngano na mtama) ~ meal unga wa sembe n.k. ~ flour/starch unga wa mahindi n.k. corn-cob n konyo au gunzi la hindi. ~ pone n mkate wa mahindi. 2 punje moja ya nafaka au pilipili manga. corncrake n kwekakweka (ndege).

corn

2 n sugu/sagamba katika kitengele cha mguu hasa katika kidole cha mguu. tread on somebody's ~s udhi mtu.

corn

3 vt hifadhi nyama kwa chumvi. ~ed beef n nyama ya kopo, bifu (iliyohifadhiwa kwa chumvi).