convey

vt (to) (from) 1 chukua, beba, peleka. 2 wasilisha, fikisha, julisha, eleza words cannot ~ my feelings maneno hayatoshi kueleza hisia zangu ~ one's meaning beba maana yake this ~s nothing to me hii haina maana kwangu. 3 (leg) hawilisha. ~land hawilisha ardhi. conveyor/conveyer n mchukuzi/kichukuzi. ~er belt n mkanda wa kuchukulia. ~ace n 1 gari, chombo cha uchukuzi. 2 uchukuzi, upelekaji. 3 (leg) uhawilishaji; hati ya kuhawilisha (mali). conveyancer n mwanasheria anayeandaa hati ya kuhawilisha. conveyancing (leg) n kuhawilisha.