control

n 1 madaraka au mamlaka ya kuongoza, kuamuru au kuzuia. be in ~of -wa na amri juu ya. get/be/come/bring under ~ dhibiti, zuia. get out of ~ shindikana kutawala, as your children are out of ~ wanao hawaambiliki/ hawakanyiki. have/keep/get ~ over tawala, -wa na mamlaka juu ya, amirisha have ~ over your children tawala wanao. lose ~ shindwa kuzuia hasira take ~ of this project chukua uongozi wa mradi huu. 2 usimamizi udhibiti, uongozaji ~ of finance udhibiti wa fedha. birth ~ n upangaji (wa) uzazi. 3 kuzuia, kurekebisha. a ~ over something kuzuia jambo (lisifanyike). 4 (of experiments etc.) kigezo/kiwango cha jaribio. 5 (of machines etc.) virekebishi, kidhibiti, viendeshi volume ~ urekebishaji wa sauti aircraft ~ tower mnara wa kuongozea ndege. 6 kituo cha magari ya mashindano. vt 1 tawala, amrisha, zuia, simamia, dhibiti ~ oneself jitawala/jiheshimu. ~ing interest n umilikaji hisa kubwa wa kumwezesha mtu kuwa na kauli kubwa juu ya sera (katika kampuni). 2 chunguza, hakiki. 3 (of prices) rekebisha. ~able adj. controller n msimamizi, mtawala/ mdhibiti.