contract

contract

1 vt ~ (with)/(for) fanya mkataba; fanya mapatano; afikiana. 2 ~ out (of) kataa, tupilia mbali (masharti ya mkataba). 3 (illness) pata/patwa na, shikwa na. 4 (of debts) wiwa, daiwa. contractor n kontrakta. contractual adj -a mkataba. n 1 mapatano, maafikiano, maagano, mkataba; kondrati breach of ~ kuvunja mkataba ~ of carriage mkataba wa uchukuzi. 2 (of marriage) ahadi ya ndoa.

contract

2 vt,vi 1 punguza, fupisha; punguka, nywea iron ~s when it cools chuma hunywea kinapopoa. 2 bana, kacha, -wa -embamba, fanya kunyanzi. contractile adj -a kuweza kunywea. contractility n. contraction n 1 mpunguo; ufupisho, mnyweo; kunywea. 2 (wrinkle) mfinyo/ mkunyato muscle ~ion kukaza/kubana kwa misuli, maumivu ya misuli. 3 (gram) kufupisha, mkato.