contagious

adj (of people or disease) -a kuambukiza. ~ disease n ugonjwa wa kuambukiza; (fig) -a kuenea upesi kwa kuigana; -a kuathiri. contagium n kiambukizi (k.m. virusi). contagion n 1 uambukizaji (kwa kugusana, kukaribiana). 2 ugonjwa wa kuambukiza; (fig) uenezaji wa mawazo potofu/mashauri maovu/ umbeya/uvumi.