consume

vt,vi 1 -la, -nywa. 2 (of fire) teketeza; tumia; maliza. 3 haribu, fuja ~ away haribika, oza. consumable adj. consuming adj. consumer n mlaji, mnunuzi, mtumiaji. ~r goods n bidhaa zitumiwazo (chakula, nguo, gari n.k.) ~r cooperative shop duka la ushirika la walaji ~r wants mahitaji ya wanunuzi ~r sales resistance uzito wa kununua bidhaa (wa wateja). consumption n 1 ulaji. 2 utumiaji; ufujaji. 3 (med) kifua kikuu. consumptive adj 1 -enye kifua. 2 -haribifu; -a kutumia. n mgonjwa wa kifua kikuu. consumptiveness n. consummate vt 1 kamilisha, timiliza, maliza, isha. 2 kamilisha/timiliza ndoa kwa ngono. ~d marriage n ndoa iliyokamilishwa, /ndoa kamilifu. ~ly adv,adj 1 -kamili, -timilifu, bora; stadi. consummation n 1 kilele, ukamilisho; tendo la kumaliza kutimiza/kukamilisha. 2 consummation of marriage mfumo wa kukamilisha ndoa kwa ngono; kukamilishwa kwa ndoa.