construe

vt,vi 1 fasiri; tafsiri; eleza maana, chambua; (infer) fahamu maana yake he was mis ~d alieleweka vibaya. 2 changanua; chambua; unda, unganisha kisarufi ~ a sentence chambua sentensi. 3 (of sentence) wezekana kuchambuliwa au kutafsiriwa.