consonance

n 1 upatanifu. 2 ulinganifu be in ~ with lingana na; (mus) ulinganifu wa sauti. 3 konsonanti: upacha wa konsonanti za mwisho za maneno tofauti (k.m. t katika maneno fit, hot, bet ya Kiingereza). consonant adj -a kupatana, -a kulingana, sawa. consonant with -enye kuchukuana na. consonant to muwafaka, kubalifu, kabuli. consonant n konsonanti consonantal adj.