consist

vi 1 (of) -wa na. 2 (in) tegemea. consistence/ consistency n 1 kuwa na msimamo, hali ya kuwa na fikira (desturi, tabia n.k.) zile zile daima. 2 uthabiti. 3 uzito, ugumu mix flour and milk to the right ~ency koroga pamoja unga na maziwa ili kupata uzito (ugumu) ufaao. consistent adj 1 (of person, his behaviour, principles etc) -enye msimamo, thabiti, -aminifu, -a kulingana, sawa. 2 (with) kwa kupatana/kukubaliana, -a kushikilia jambo; -nyofu. ~ly adv.