consequence

n 1 matokeo (ya jambo). in ~ (of) kwa sababu hiyo. in ~ of something kwa ajili ya jambo fulani. bear the ~s kubali matokeo. 2 umuhimu, umaarufu, cheo. it is of no ~ sio muhimu. a person of ~ mtu maarufu. consequent n tokeo la jambo, mfululizo; (gram) kishazi kifuasi adj 1 consequent on/upon -a kufuata, -a kufuatana na. (law) consequent damage n hasara inayofuatia. 2 (maths) consequent number namba fuasi katika uwiano. consequential adj -a kufuata. consequential loss n hasara inayoandamana na. 2 (pompous) -enye majivuno, -enye makuu. consequently adv kwa hiyo, hivyo.