conjunct

adj, n -a kuunga, -liounganika; muungano. conjunctly adv. conjunction n 1 mwungano. in ~ion with pamoja na, kwa kuungana na. 2 (gram) kiungo (k.m. na, ya, wa). 3 mwingiliano, mchanganyiko. conjunction of circumstances mwingiliano wa mambo. conjunctive adj 1 -a kuunganisha, -a kiunganishi. n kiunganisho. conjunctively adv. conjuncture n mwungano wa matukio that ~ure of flood and drought resulted in famine mwungano wa mafuriko na ukame ulisababisha njaa.