congregate

vt,vi kusanya; kusanyika, kutana, kutanika people quickly ~d around the speaker watu walikusanyika haraka na kumzunguka msemaji. congregation n 1 mkusanyiko wa watu; mkutano, usheha. 2 (rel) mkusanyiko wa waumini, usharika. 3 (of a University) mahafali. congregational adj.