compromise

n mwafaka, masikilizano, maafikiano (ambapo kila upande hulegeza masharti/madai yake). vt 1 patana, ridhiana, afikiana, kubaliana juu ya jambo. 2 (endanger) tia hatarini, tia matatani. 3 tuhumisha vibaya. ~ oneself jiaibisha; jikashifu. comptroller n (accounts) (also controller) mdhibiti fedha.