vt,vi 1 fanyiza, tengeneza be~d of -wa na sehemu (nyingi); tengenezwa kwa; umbwa kwa it is~d of rock -metengenezwa kwa jiwe. 2 tunga, buni, andika (wimbo, shairi, mawazo, hotuba). 3 (printing) panga herufi za chapa ili kuunda maneno au sentensi. 4 tuliza. ~ oneself jituliza, -wa makini. composedadj tulivu. composedlyadv. composern mtungaji. composing framen fremu ya kupanga herufi. composing machinen mashine ya kupanga herufi. composing stickn chombo cha kuwekea herufi. compositionn 1 utungo, insha, kitu. 2 kazi ya sanaa k.v. kitabu, maandiko, nyimbo n.k. 3 utungaji/usanii wa kitu. 4 (agreements) mapatano. composition of creditorsn mapatano ya wawia. 5 (mixture) mchanganyiko. 6 (ingredients) vijenzi, sehemu mbalimbali, asili za kitu. 7 kupanga herufi za chapa. 8 (Maths; Physics) kivungo. compositeadj -enye sehemu (vitu, tabia) zaidi ya moja, -liofanywa na sehemu nyingine au na vitu mbalimbali. compositorn mpanga herufi za chapa. composuren utulivu, makini.