companion

companion

1 n 1 mwenzi, rafiki, mwandani. ~ in distress mwenzi katika shida. 2 ~ volume n kitabu cha rejea/ mwongozo. companionable adj. companionship n.

companion

2 n (naut) 1 dirisha la kupitisha mwangaza chini melini. 2 ~ ladder way ngazi ya ndani ya meli.