combine

combine

1 n 1 shirika la makampuni ya biashara. 2 ~ harvester n kivuna nafaka (kinachovuna na kupurura sawia).

combine

2 vt,vi ~ (with) ungana; unga, unganisha; changanya, shirikisha. ~d operations/exercises n shughuli mchangamano. combination n 1 mchanganyo; muungano; uunganishaji. 2 mchanganyiko; ushirikiano enter into combination with ungana na. combination room n see common room chumba (kitumiwacho na wanafunzi na walimu shuleni/chuoni) cha kupumzikia. 3 (pl) combination n nguo ya ndani (inayovaliwa mwili mzima). 4 pikipiki yenye kigari ubavuni. 5 fomula. combination lock n kufuli la kufunguliwa kwa namba.