colour

colour

1 n 1 rangi there isn't enough ~ in the picture picha haina rangi ya kutosha ~ blind kipofu rangi. ~blindness n upofu rangi. ~scheme n mpangilio/ mchanganyo/mfumo wa rangi. ~ -wash n rangi (za maji) za kupaka kuta. 2 rangi za wasanii. powder ~s n rangi za unga. oil ~ n rangi ya mafuta. water ~ n rangi ya maji. 3 (of events, descriptions) sura, maana, maono. give/lend ~ to elekea kuthibitisha jambo fulani give false ~ing to sema uwongo; danganya. 4 (of facial expression) high ~ n uso wa kunawiri/ mwekundu. colourful adj -liosharabu rangi, changamfu, -a kupendeza. colourless adj -sio na rangi/ -angavu; a ~less person mtu baridi, asiyechangamka. be off ~zingia. change ~ geuka rangi. 5 (of skin) rangi ya mtu. ~ bar n kalabaa: ubaguzi wa rangi. ~ problem n tatizo la ubaguzi. 6 (pl) bendera, beramu called to the ~s -itwa jeshini. nail one's ~ s to the mast amua, tangaza/ng'an g'ania/shikilia msimamo. sail under false ~s (fig) -wa mnafiki. show oneself in one's true ~ s bainisha tabia halisi ya mtu ilivyo. come off/pass an examination with flying ~s fanikiwa vizuri kabisa. stick to (one's) colours kataa kabisa kuacha imani yako/shikilia imani yako. 7 local ~ (lit) maelezo ya kina/kinaganaga kuonyesha hali halisi ya mahala au wakati. ~ ful adj.

colour

2 vt,vi 1 paka/tia rangi, -wa mwekundu. 2 (up) pata rangi; (blush) iva uso, geuka rangi. 3 (exaggerate) piga chuku, tia chumvi, potosha his hate ~ed his account chuki yake iliathiri maelezo aliyoyatoa; (misrepresent) potosha; singizia. ~in jaza rangi. colouring n kitu kinachotia rangi, rangi (ya ngozi) ya uso; mtindo wa utiaji rangi wa msanii. coloration n 1 mpangilio wa rangi. 2 jumla ya imani/ misimamo n.k. ya mtu/kundi/ taifa. colorific adj 1 -a rangi nyingi. 2 -enye kutoa rangi.