n 1 koloni. 2 (collection) jamii/kundi la wanyama/mimea, watu wa maslahi moja a ~ of plants/insects kundi la mimea/ wadudu wanaoishi pamoja. colonialadj -a kikoloni: (Hist)ColonialOfficen (GB) Wizara ya Makoloni. colonial hangovern kasumba ya kikoloni. colonialismn ukoloni. ukoloni mkongwe. neo- colonialism ukoloni mamboleo. colonistn mkoloni; mlowezi, setla; mkazi wa koloni. colonizevt tia ukoloni, anzisha koloni, tamalaki/twaa nchi ya wengine. colonizationn ukoloni. colonizern mkoloni, mtwaa nchi ya wengine.