coincide

vi 1 ~ (with) (of two or more objects) lingana, fanana (kwa eneo au umbo). 2 (of events) tukia, sawia/ wakati mmoja. 3 (of ideas etc) patana, oana, afikiana. coincidence n 1 ulinganifu, upatanifu, utukizi. 2 jambo litukialo kulingana na jingine (kwa nasibu au ajabu). coincident; coincidental adj -a nadra, tukizi.