cognition

n utambuzi, ufahamu, ujuzi. cognitive adj tambuzi. cognizable adj -a kutambulikana. cognizance n 1 (leg) utambuzi, uzingatifu; kutambua. take cognizance of tambua; zingatia 2. haki/mamlaka ya kushughulikia jambo kisheria fall within one's cognizance -wa ndani ya uwezo wa ... (kushughulikia). 3 nembo. cognizant adj.