adj 1 -a namna sawa, -a kadiri/cheo kile kile. 2 -a kulingana sawa. 3 ambatanishi. ~ clausen kishazi ambatani. vt ratibu n watu/vitu sawa. co-ordinationn 1 uratibu. 2 hali ya kuwa namna/kadiri/cheo sawa coordinationpoint kituo cha uratibu. 3 (of muscles) kupatana, kukubaliana. co-ordinatorn mratibu.