climb

vi,vt 1 (slope upwards) kwea, panda. 2 (of plants) tambaa. ~ing plant n (mmea) mtambazi. ~ up 1 paramia, panda, sombera. ~ down shuka; kubali kosa. 2 paraga. n 1 upandaji, uinukaji. 2 ukwezi; (fig) -ja kwa matao ya chini (kiri kosa) ~ing irons pingu za mkwezi. climber n mkwezi; mtu anayejiendeleza; mmea unaotambaa.