clerk

n 1 karani. clerical adj -a kuhusu makarani a clerical error kosa la maandishi, kosa katika kunakili (kufuatisha) town ~ katibu wa mji chief ~ karani mkuu ~ of the works msimamizi wa majengo ~ to the cabinet karani wa baraza la mawaziri. 2 (US) (of shop) mwuzaji.