claw

n 1 kucha (la mnyama au ndege). 2 (of crab, lobster etc.) gando/ koleo. vt, vi 1 papura, piga makucha. 2 shika kwa kucha au kwa vidole. ~ away (off) (of ship) acha bandari. ~ at/back (colloq) pata kitu tena kwa jitihada. ~ hammer n nyundo koleo.